KIVUMBI kuendelea tena leo na kesho katika ligi ya mabingwa makundi mbalimbali kujaribu bahati zao na kutumia vizuri viwanja vya nyumbani, mechi ya mapema itaanza majira ya saa moja usiku katika jiji la Moscow nchin Urusi kati ya mabingwa CSKA MOSCOW watavaana na mabingwa wa Ujerumani Bayern Munich.
Majira ya saa tatu na dakika arobaini na tano usiku makundi ya E na H yatawasha moto wakati wenyeji Manchester City wanawakarisha wageni As Roma toka Italia.
Macho na masikio yatakuwa kundi F katika jiji la Paris nchini Ufaransa mabingwa wa ligi hiyo Paris Saint Germain watakuwa wenyeji wa Fc Barcelona toka nchini Hispania kwani timu hizo zimekuwa na upinzani mkubwa kwani hata msimu uliopita zilikuwa kundi moja ambapo mechi ya kwanza zilitoka sare na ziliporejeana Barcelona walishinda.
Pia kutakuwa na mechi nyingine katika kundi hilo Apoel Nicosia na Ajax watavaana.
Vijana wa kupaki basi watakuwa nchini Ureno watakumbana na wenyeji Sporting Lisbon timu ambayo haijafungwa katika mechi zake za ligi sawa na Chelsea nao hawajafungwa katika ligi ya England na Schalke 04 watawapokea Maribor katika kundi hilo la G.
Hitimisho la leo kundi H, Bate Borisov na Athletic Bilbao pamoja na Shakhtar Donetsk vs Fc Porto.
Jumanne, 30 Septemba 2014
Jumatatu, 29 Septemba 2014
MZIMU WA MSOTI WAENDELEA KUITESA SIMBA
TIMU ya Simba imeendelea kupata sare ya pili mfululizo katika mechi za ligi ya Vodacom Tanzania Bara huku tukiona uwezo wa kila mchezaji anayepata nafasi katika kikosi cha kwanza kati ya wachezaji wote waliosajiliwa na timu hiyo.
Licha ya kuwa na wachezaji wenye viwango vya kimatifa na wenye uzoefu katika mashindano mbalimbali hatujaona makali yao kama vile, kurejea kwa kiungo mkabaji Jonas Mkude hatujaona msaada mkubwa kuwalinda mabeki wake kwani timu hiyo inakosa pumzi katika kipindi cha pili.
Tatizo kubwa ambalo ni changamoto kwa kocha Patriki Phiri na bechi lake la ufundi ni sehemu ya mabeki wake kwani kumekuwa hakuna uwiano mzuri kati ya beki wa mwisho na wa nyuma bado kuna leta shida sana katika ukabaji wake,je nani tumlaum kocha aliyemuacha Donald Musoti ama kamati ya usajili iliyoamua kumsajili Emanueli Okwi?
Kwa upande wangu mzimu wa Musoti utaendelea kuitesa timu hiyo, kwani ndio alikuwa nguzo imara katika ulinzi akisaidiana na Josefu Owino katika msimu uliopita, ushirikiano wao ulionekana hasa kwenye mechi ya mtani jembe walivyoweza kuwadhibiti washambuliaji wa timu ya Yanga
Je kulikuwa na haja gani ya kumuacha beki kisiki na kuamua kumrudisha Okwi? ama ndio soka la Usimba na Uyanga wa kukomoana katika suala zima la usajili, wa timu hizi mbili zenye washabiki wengi nchini,ama siasa nyingi na majingambo mengi ambayo hayasaidii katika kujenga timu.
Musoti ni beki wa kimataifa na ana uwezo mkubwa sana katika ukabaji leo hii anaachwa na hatukuona nafasi yake anasajiliwa beki mzoefu kwa lengo la kuziba nafasi yake. Isihaka bado hajawa na uzoefu katika mikikimiki ya mechi mbalimbali, wadau wengi bado wanajiuliza maswali je ni kocha hakuridhika na kiwango cha mchezaji huyo ama kamati ya usajili kwa ajili ya kufurahisha mashabiki wake na uongozi mpya uliopo sasa?
Licha ya kuwa na wachezaji wenye viwango vya kimatifa na wenye uzoefu katika mashindano mbalimbali hatujaona makali yao kama vile, kurejea kwa kiungo mkabaji Jonas Mkude hatujaona msaada mkubwa kuwalinda mabeki wake kwani timu hiyo inakosa pumzi katika kipindi cha pili.
Tatizo kubwa ambalo ni changamoto kwa kocha Patriki Phiri na bechi lake la ufundi ni sehemu ya mabeki wake kwani kumekuwa hakuna uwiano mzuri kati ya beki wa mwisho na wa nyuma bado kuna leta shida sana katika ukabaji wake,je nani tumlaum kocha aliyemuacha Donald Musoti ama kamati ya usajili iliyoamua kumsajili Emanueli Okwi?
Kwa upande wangu mzimu wa Musoti utaendelea kuitesa timu hiyo, kwani ndio alikuwa nguzo imara katika ulinzi akisaidiana na Josefu Owino katika msimu uliopita, ushirikiano wao ulionekana hasa kwenye mechi ya mtani jembe walivyoweza kuwadhibiti washambuliaji wa timu ya Yanga
Je kulikuwa na haja gani ya kumuacha beki kisiki na kuamua kumrudisha Okwi? ama ndio soka la Usimba na Uyanga wa kukomoana katika suala zima la usajili, wa timu hizi mbili zenye washabiki wengi nchini,ama siasa nyingi na majingambo mengi ambayo hayasaidii katika kujenga timu.
Musoti ni beki wa kimataifa na ana uwezo mkubwa sana katika ukabaji leo hii anaachwa na hatukuona nafasi yake anasajiliwa beki mzoefu kwa lengo la kuziba nafasi yake. Isihaka bado hajawa na uzoefu katika mikikimiki ya mechi mbalimbali, wadau wengi bado wanajiuliza maswali je ni kocha hakuridhika na kiwango cha mchezaji huyo ama kamati ya usajili kwa ajili ya kufurahisha mashabiki wake na uongozi mpya uliopo sasa?
Ijumaa, 26 Septemba 2014
NANI KUNUNA AMA KUCHEKA WIKIEDI HII MECHI MBALIMBALI BARANI ULAYA?
WIKI hii kuna mechi katika ligi mbalimbali tazama ratiba
LIGI YA ENGLAND
Jumamosi;27
Liverpool vs Everton
Chersea vs Aston Villa
Crystal Place vs Leicester City
Hull City vs Manchester City
Manchester United vs West Ham United
Southampton vs Queens Park Rangers
Sunderland vs Swansea City
Arsenal vs Tottenham Hostspur
Jumapili ;28
West Bronwich Albion vs Burnely
SERIE A
Jumamosi;27
Roma vs Hellas Veron
Atalanta vs Juventus
Jumapili;28
Sasoulo vs Ssc Napoll
Cesena vs Ac Milan
Chievo Veron vs Empoll
Inter Milan vs Cagllari
Torino vs Fiorentina
Genoa vs Sampdoria
HISPANIA; LIGA BBVA
Ijumaa ;26
Elche vs Celta Vigo
Jumamosi;27
Villarreal vs Real Madrid
Barcelona vs Granada
Athletic Bilbao vs Eibar
Atletico Madrid vs Sevilla
Levante vs Rayo Vallecano
Jumapili;28
Getafe vs Malaga
Deportivo la Coruna vs Almeria
Real Sociedad vs Valencia
Cordoba vs Espanyol
UJERUMAN;BUNDESLIGA
Ijumaa;26
Mainz 05 vs Hoffenham
Jumamosi;27
Fc Cologne vs Bayen Munich
Freiburg vs Bayen Leverkusen
Paderborn vs Borusia Monchengladbach
Schake 04 vs Borusia Dotmund
Vfb Sstuttgat vs Hannover 96
Wolfsburg vs Werder Bremen
Jumapili;28
Augsburg vs Hertha Berlin
Hamburger vs Eintractfut
UFARANCE;LIGUE 1
Jumamosi;27
Monaco vs Nice
Toulouse vs Paris Saint Germain
Lille vs Bastia
Lorient vs Evian Thonon Gaillard
Metz vs Reims
Montpellier vs Guingamp
Jumapili;28
Bordeaux vs Rennes
Lens vs Caen
Nantes vs Lyon
Marselle vs Saint Etienne
URENO;LIGA ZON SAGRES
Ijumaa;26
Sporting Cp vs Fc Port
Jumamosi;27
Estoril vs Benfica
Braga vs Rio Ave
LIGI YA ENGLAND
Jumamosi;27
Liverpool vs Everton
Chersea vs Aston Villa
Crystal Place vs Leicester City
Hull City vs Manchester City
Manchester United vs West Ham United
Southampton vs Queens Park Rangers
Sunderland vs Swansea City
Arsenal vs Tottenham Hostspur
Jumapili ;28
West Bronwich Albion vs Burnely
SERIE A
Jumamosi;27
Roma vs Hellas Veron
Atalanta vs Juventus
Jumapili;28
Sasoulo vs Ssc Napoll
Cesena vs Ac Milan
Chievo Veron vs Empoll
Inter Milan vs Cagllari
Torino vs Fiorentina
Genoa vs Sampdoria
HISPANIA; LIGA BBVA
Ijumaa ;26
Elche vs Celta Vigo
Jumamosi;27
Villarreal vs Real Madrid
Barcelona vs Granada
Athletic Bilbao vs Eibar
Atletico Madrid vs Sevilla
Levante vs Rayo Vallecano
Jumapili;28
Getafe vs Malaga
Deportivo la Coruna vs Almeria
Real Sociedad vs Valencia
Cordoba vs Espanyol
UJERUMAN;BUNDESLIGA
Ijumaa;26
Mainz 05 vs Hoffenham
Jumamosi;27
Fc Cologne vs Bayen Munich
Freiburg vs Bayen Leverkusen
Paderborn vs Borusia Monchengladbach
Schake 04 vs Borusia Dotmund
Vfb Sstuttgat vs Hannover 96
Wolfsburg vs Werder Bremen
Jumapili;28
Augsburg vs Hertha Berlin
Hamburger vs Eintractfut
UFARANCE;LIGUE 1
Jumamosi;27
Monaco vs Nice
Toulouse vs Paris Saint Germain
Lille vs Bastia
Lorient vs Evian Thonon Gaillard
Metz vs Reims
Montpellier vs Guingamp
Jumapili;28
Bordeaux vs Rennes
Lens vs Caen
Nantes vs Lyon
Marselle vs Saint Etienne
URENO;LIGA ZON SAGRES
Ijumaa;26
Sporting Cp vs Fc Port
Jumamosi;27
Estoril vs Benfica
Braga vs Rio Ave
Alhamisi, 25 Septemba 2014
SIMBA YAANDAMWA NA MAJERUHI
KLABU ya simba imeendelea kuandamwa na majeruhi kuelekea kwenye mchezo wake dhidi ya Polisi Morogoro utakaofanyika Jumamosi hii katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salam majira ya saa kumi jioni.
Miongoni mwa wachezaji wa timu hiyo ambao wamepata majeruhi ni Issa Rashid ''Baba ubaya'', Paulo Kiongera, Abdi Banda, Nassor Masoud chollo pamoja na mlinda mlango namba moja Ivo Mapunda.
Licha ya kuwa na majeruhi mengi hatutaraji kuona mapungufu mengi katika timu hiyo kwani ina wachezaji wengi wenye uwezo wa kuziba mapengo hayo, hivyo jukumu kubwa linabaki kwa kocha wa timu hiyo pamoja benchi zima la ufundi kushauriana nani acheze katika nafasi hizo.
Tuliona katika mechi ya ufunguzi timu hiyo ilivyopoteza nafasi nyingi katika sehemu la umaliziaji kwani walikosa nafasi nyingi za kufunga magoli licha ya kuwa na safu hatari ya wafungaji huku ikiongozwa na mfungaji bora wa msimu uliopita Hamis Tambwe raia wa Burundi.
Habari njema kwa mashabiki klabu hiyo ni kurejea kwa kiungo mkabaji Jonas Mkunde aliye kuwa kwenye majeruhi kwa muda mrefu aliyopata akiwa katika kambi ya timu ya Taifa, hivyo ataongeza nguvu katika eneo la kati huku akisaidiana na mabeki wake.
Kwani katika mchezo uliopita tuliona mapungufu katika kiungo mkabaji hasa katika kipindi cha pili mpaka ikapelekea wapinzani kusawazisha magoli yote mawili licha ya kuongoza kipindi cha kwanza.
Miongoni mwa wachezaji wa timu hiyo ambao wamepata majeruhi ni Issa Rashid ''Baba ubaya'', Paulo Kiongera, Abdi Banda, Nassor Masoud chollo pamoja na mlinda mlango namba moja Ivo Mapunda.
Licha ya kuwa na majeruhi mengi hatutaraji kuona mapungufu mengi katika timu hiyo kwani ina wachezaji wengi wenye uwezo wa kuziba mapengo hayo, hivyo jukumu kubwa linabaki kwa kocha wa timu hiyo pamoja benchi zima la ufundi kushauriana nani acheze katika nafasi hizo.
Tuliona katika mechi ya ufunguzi timu hiyo ilivyopoteza nafasi nyingi katika sehemu la umaliziaji kwani walikosa nafasi nyingi za kufunga magoli licha ya kuwa na safu hatari ya wafungaji huku ikiongozwa na mfungaji bora wa msimu uliopita Hamis Tambwe raia wa Burundi.
Habari njema kwa mashabiki klabu hiyo ni kurejea kwa kiungo mkabaji Jonas Mkunde aliye kuwa kwenye majeruhi kwa muda mrefu aliyopata akiwa katika kambi ya timu ya Taifa, hivyo ataongeza nguvu katika eneo la kati huku akisaidiana na mabeki wake.
Kwani katika mchezo uliopita tuliona mapungufu katika kiungo mkabaji hasa katika kipindi cha pili mpaka ikapelekea wapinzani kusawazisha magoli yote mawili licha ya kuongoza kipindi cha kwanza.
Jumatano, 24 Septemba 2014
TAZAMA YALIYOJILI LIGI MBALIMBALI KATIKATI YA WIKI HII
Michezo mbalimbali imechezwa wiki hii kutoka ligi tofauti tukianzia;
ENGLAND; CAPITAL ONE
Arsenal 1-2 Southampton
Cardiff city 0-3 B'mouth
Derby county 2-0 Reading
MK Dons 2-0 Bradford
Swansea 3-0 Everton
Sunderland 1-2 Stoke city
Leyton 0-1 Sheffield
Liverpool 2-2 Mid'brough
Shrewsbury 1-0 Norwich city
Fulham 2-1 Doncaster
HISPANIA :LA LIGA
Real Madrid 5-1 Elche
Celta Vigo 2-1 Diportivo la Coruna
ITALIA: SERIE A
Empoll 2-2 Ac Millan
UJERUMANI: BUNDESLIGA
Bayern munich 4-0 Paderborn
Eintr. Frankfurt 2-2 Mainz 05
Hoffenheim 3-3 Freiburg
Werder Bremen 0-3 Schalke 04
UFARANSA: LIGUE 1
Reims 0-5 Marselile
Rennes 0-3 Toulouse
ENGLAND; CAPITAL ONE
Arsenal 1-2 Southampton
Cardiff city 0-3 B'mouth
Derby county 2-0 Reading
MK Dons 2-0 Bradford
Swansea 3-0 Everton
Sunderland 1-2 Stoke city
Leyton 0-1 Sheffield
Liverpool 2-2 Mid'brough
Shrewsbury 1-0 Norwich city
Fulham 2-1 Doncaster
HISPANIA :LA LIGA
Real Madrid 5-1 Elche
Celta Vigo 2-1 Diportivo la Coruna
ITALIA: SERIE A
Empoll 2-2 Ac Millan
UJERUMANI: BUNDESLIGA
Bayern munich 4-0 Paderborn
Eintr. Frankfurt 2-2 Mainz 05
Hoffenheim 3-3 Freiburg
Werder Bremen 0-3 Schalke 04
UFARANSA: LIGUE 1
Reims 0-5 Marselile
Rennes 0-3 Toulouse
Jumatatu, 22 Septemba 2014
ANGALIA RATIBA YA KOMBE LA LIGI UINGEREZA 'CAPITAL ONE'
Jumanne 23:saa 3:45 usiku
Arsenal vs Southmpton
Cardiff vs B' mouth
Derby vs Reading
Mk Dons vs Bradford
Swansea vs Everton
Sunderland vs Stoke City
Leyton vs Sheffield
Liverpool vs Mid'brough
Shrewsbury vs Norwich city
Fulham vs Doncaster
RATIBA ZA LIGI YA BUNDESLIGA,SERIA A NA LALIGA KWA WIKI HII
BUNDESLIGA
Jumanne 23:
Bayern Munich vs Paderborn
Eintrach Frankfurt vs Mainz 05
Hoffenheim vs Freiburg
Werder Bremen vs Schalk 04
Jumatano 24:
Bayer Leverkusen vs Augsburg
Borrusi Dortmund vs Vfb Stuttgat
Borrusia monchengladbach vs Hamburger sv
Hannover 96vs vs Fc cologne
Hertha Berlin vs Wolfsburg
LA LIGA
Jumatatu 22:
Getafe vs Valencia
Jumanne 23:
Real Madrid vs Elche
Celta vigo vs Deportivo la coruna
Jumatano 24:
Almeria vs Atletico Madrid
Eibar vs Villarreal
Rayo vallecano vs Athletic Bilbao
Granad vs Levante
Malaga vs Barcelona
Sevilla vs Real sociedad
SERIA A
Jumanne 23:
Empoll vs Ac millan
Jumatano 24:
Calgllarl vs Torino
Fiorentina vs Sassuolo
Hellas verona vs Genoa
Inter millan vs Atalanta
Juventus vs Cesena
Parma vs Roma
Ssc Napoll vs Palermo
Sampdoria vs Chievo verona
Alhamis 25:
Lazio vs Udenese
Jumanne 23:
Bayern Munich vs Paderborn
Eintrach Frankfurt vs Mainz 05
Hoffenheim vs Freiburg
Werder Bremen vs Schalk 04
Jumatano 24:
Bayer Leverkusen vs Augsburg
Borrusi Dortmund vs Vfb Stuttgat
Borrusia monchengladbach vs Hamburger sv
Hannover 96vs vs Fc cologne
Hertha Berlin vs Wolfsburg
LA LIGA
Jumatatu 22:
Getafe vs Valencia
Jumanne 23:
Real Madrid vs Elche
Celta vigo vs Deportivo la coruna
Jumatano 24:
Almeria vs Atletico Madrid
Eibar vs Villarreal
Rayo vallecano vs Athletic Bilbao
Granad vs Levante
Malaga vs Barcelona
Sevilla vs Real sociedad
SERIA A
Jumanne 23:
Empoll vs Ac millan
Jumatano 24:
Calgllarl vs Torino
Fiorentina vs Sassuolo
Hellas verona vs Genoa
Inter millan vs Atalanta
Juventus vs Cesena
Parma vs Roma
Ssc Napoll vs Palermo
Sampdoria vs Chievo verona
Alhamis 25:
Lazio vs Udenese
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)